Vidonda vya tumbo

Vidonda vya tumbo husababishwa na tabia ya kukaa na njaa kwa muda mrefu bila kula chakula . Pia husababishwa na kufanya kazi ambazo zinamfanya mtu atumie muda mrefu kufikiria jambo fulani .

Vidonda vya tumbo

Mawazo yakizidi kupita kiasi huweza kusababisha vidonda vya tumbo.

DALILI

Mtu mwenye vidonda vya tumbo akila vitu vikali kama pilipili.tumbo humuuma sana .Vyakula vinavyosababisha gesi tumboni kama maharage humsababishaia maumivu mgonjwa .Vyakula vyenye tindikali kama ndimu au dawa kama asprin nazo pia husababisha maumivu makali tumboni mwa mgonjwa .Vyakula vya moto sana au baridi sana pia husabisha maumivu makali tumboni mwa mgionjwa

TIBA.

  1. Mgonjwa anapaswa kuepuka kula vitu vikali vyenye asidi ambavyo vinamsababishia gesi  na hasa aepuke kukaa na njaa kwa muda mrefu.
  2. Mgonjwa ajitahidi kunywa maziwa mara kwa mara.
  3. Dawa aina MPL ikitumika vyema huondoa kabisa tatizo la vidonda vya tumbo mgonjwa apewe dawa hiyo katika kikombe cha kahawa kutwa mara tatu.ndaniya mwezi mmoja.


 


© 2025 Shirika la Maendeleo Utafiti na Tiba Tanzania - SHIMAUTITA