Uchambuzi wa Uzazi

Yapasa mtu kuvielewa viungo vilivyohusika na uzazi kabla ya kutoa tiba .Hii ni kwa jamii yote inayohusika.

Sehemu ya Uzazi kwa wanawake

Mfumo wa uzazi

Kazi ya viungo ya uzazi (mfumo wa uzazi ) ni kuumba wanadamu wapya .Kazi hii hufaulishwa kwa njia ya muungano wa yai la kike [female agg cell ovary] na mbegu ya kiume(male cell or spermatozoon).

Viungo ambavyo hutumika na kufanya viungo vya uzazi vina kazi zifuatazo

Kwa upande wa mwanamke:

  1. Kutengeneza mayai ya uzazi ya kike (female egg cell)
  2. Kutoa nafasi ya kuziweka mbegu za uzazi za kiume.
  3. Kurahisisha mkutaniko wa mayai ya uzazi ya mwanamke na mbegu za uzazi za mwanamme.
  4. Kuunda kiungo maalum (mfano wa mimba) ambacho kiumbe kipya kitatunzwa na kukuzwa kwa muda wa miezi tisa

Kwa upande wa mwanaume:

  1. Kutengeneza mbegu za kiume yaani manii au shahawa
  2. Kutoa kiungo cha huduma ya kuzipeleka mbegu za uzazi za kiume katika uke.

NB, Muungano wa mbegu za kiume na yai la kike hufanywa katika mirija ya falopia .Hapo unatokea muungano.Yai hilo husukumwa polepole kuelekea chini kwa kujikunja na kujikunjua kwa misuli ya falopia hadi kuingia katika mji wa mimba .

Mji wa mimba  ni kiungo ambacho kimetengenezwa maalum kwa kutunza na kukuza kiumbe kilichoumbwa .Kiumbe hicho hujishikiza kwenye ukuta wa mji wa mimba,  kupitia ukuta huo, kiumbe hicho hupata chakula  na hewa, vyote hivyo vikiwa vinaletwa na kapilari za mama mjamzito.

 Ovari

Ovari za mwanamke hali kadhalika zina tezi za fahamu.Matezi hayo hutengeneza homoni mbili yaani (estrodial ) na (progesterone ). Kazi ya kwanza ya ovari yaani oestrodial:

  1. Kukuza mji wa mimba wa mwanamke  akisha vunja ungo
  2. Kuleta hali ya kike mathalani
    1. Umbo la kike.
    2. Hali ya kutoa ndevu.
    3. Kufanya sauti ya kike yaani  nyororo.

Kazi ya homoni ya pili ya ovari yaani (progesterone)

  1. Kukuza unene wa mji wa mimba baada ya mwanamke kushika mamba .
  2. Inahusika na ukuaji wa kondo la nyuma (plecenta).
  3. Huleta hali ya kukua  kwa matiti  ya mwanamke anapokuwa mjamzito.
  4. Huzuia ovari zisivishe na kutoa mayai ya kike ovari tangu wakati mwanamke anaposhika mamba hadi anapojifungua mtoto.Haya yote ni kwa asiye na kasoro yeyote kwenye mwili wake.
  1. Kuugua magonjwa ya zinaa kwa muda mrefu huharibu sehemu zote za uzazi magonjwa hayo ni kama;
  1. Kaswende (Sifilizi)
  2. Kisonono (Gonorea)

DALILI ZA UGONJWA WA KASWENDE.

Kidonda ambacho kinatokea kwanza  sehemu za siri,kinaweza kuwa hakiumi wala hakiwashi,inategemea sana pale kilipo .kikitokea  juu ya ngozi ya sehemu za siri, huanza kuonyesha uvimbe kama mtu aliyeungua na maji ya moto .Wakati mwingine hutokea kama chunusi na                             

kinaweza  kuonekana kama kidonda wazi au kipele.Hii husababishwa na kujamiana na mtu aliye na ugonjwa huo.

Wadudu wa kaswende hupenda chembe chembe nyekundu za damu .Wadudu wa kaswende hupendelea kuzaliana kwenye mfuko wa uzazi wa mwanamke,   anaweza asijielewe kama ana ugonjwa, labda akiwa kwenye siku zake .Vidudu vina uwezo wa kusambaa mwili mzima kama damu ni dhaifu.Zaidi ya yote wadudu hao hupendelea kula ovari mbili zilizoko ndani ya uke wa  mwanamke, wadudu hawa hupendelea kula gladi za kiume na mirija ya mbegu za uzazi,  ugonjwa huu ni hatari sana kwa binadamu.

 Ushauri ufuatao ni muhimu;

Vyakula vyenye vitamini E;

 Kula vyakula  vyenye vitamini E ambavyo hupatikana katika mboga za majani ,mimba ya nafaka kama mtama, ulezi, uwele na ufuta.Vyakula vingine ni kama maziwa,nyama,mayai,samaki wabichi na wakavu.

Kazi ya vitamini Eni : kusaidia viungo vya uzazi vifanye kazi yake sawasawa.

Matokea ya upungufu wa vitamini E  ;

Ukikosa  vitamini E, utapata hitilafu kwenye ukuaji wa  viungo vya uzazi,   kwa wanaume uwezekano wa kuzaa  ni mdogo na nguvu zake za kiume hupungua na kuwa dhaifu.Kwa upande wa mwanamke  uwezo wa kushika mimba  unakuwa mdogo.

TIBA.

Dawa za Uzazi.

Hupatikana  kwenye vituo vyetu vilivyopo Musoma vijijini, Kiriba  Kliniki,Mwanza Bwiru kijijini  Shimautita Kliniki, Kigoma Mwanga kizota Shimautita Kliniki,Dar es salaam iko manispaa ya Temeke Mbagala kuu mtaa wa Mgeninani zinapogeuzia daladala.Dawa za uzazi ziko za    aina nyingi, hupatiwa mgonjwa kulingana na tatizo lake.

  1. Mwanamke aliyeziba mirija ya uzazi hupatiwa dawa aina KTN .Dawa hii ina uwezo wa kufungua mirija ya uzazi kuisafisha na kuondoa uchafu wote .
  2. Mwanaume au mwanamke  mwenye mbegu dhaifu hupatiwa dawa aina ya LSK ili kurudisha uwezo wa nguvu za uzazi ziwe katika hali ya kawaida.Itachemshwa na kuchujwa vizuri, kasha mtumiaji atakunywa kikombe cha chai asubuhi kila siku baada ya mwezi mmoja .
  3. Dawa aina ya LS husaidia kumpima  mwanamke mwenye tatizo kama ana uzazi au la, kama hana uzazi, atatumia sehemu ya dawa hiyo asubuhi,Mchana na jioni kwa  muda wa mwezi mmoja.Pia dawa hii hutumika kupambana na chango la kike  linalomwaga maji meupe  yanayonata na yanayotoa harufu mbaya .Ugonjwa ambao ukimshambulia mwanamke huwa si rahisi kushika mamba endapo hatatibiwa mapema.
  4. Mti wa aina ya LIPULO hutumika kusafisha mfuko wa kutunzia mtoto kwa kupambana na wadudu wanaoshambulia eneo hilo.
  5. Dawa MRS hutumika kupambana na maradhi ya zinaa kama vile kaswende, kisonono  na pangusa.Dawa hii huchemshwa na kuchujwa vizuri.kisha kuhifadhiwa kwenye chupa safi. Mgonjwa atatumia kunywa kikombe cha chai kutwa mara tatu kwa muda wa mwezi mmoja.

© 2025 Shirika la Maendeleo Utafiti na Tiba Tanzania - SHIMAUTITA