Ugonjwa wa kisukali humpata mtu, endapo kiungo cha mwili kiitwacho kongosho kutofanya kazi zake vizuri.Kongosho ina kazi mbili muhimu kwa maisha ya binadamu.
Hitilafu yeyote katika tezi za kongosho huweza kusababisha upungufu wa homoni ya insulin. Ukosefu wa insulin hufanya sukari nyingi kutotumiwa na mwili au kurundikana katika damu. Hali ya namna hii husababisha ugonjwa wa kisukari ujulikanao kama Diabetes.Kumbuka kuwa homoni ni muhimu sana kwa ukuaji na ufanyaji kazi wa viungo vya mwili..Magonjwa mengi hujitokeza endapo kama kuna kasoro katika matezi.Aidha magonjwa hutokea mara tu panapokuwepo kasoro katika matezi.
DALILI.
Mtu aliyeathiriwa na ugonjwa huu mara nyingi hujisikia legevu, mwili kuchoka na kujisikia njaa hata kama unamuona mnene kimaumbile.Pia husikia maumivu mwili mzima na wakati mwingine husababisha mapigo ya moyo kubadilika sana.
TIBA
Tumia dawa ya mitishamba inayoitwa MJC na LYK.Dawa hii hurekebisha kongosho na kuifanya ifanye kazi yake vizuri.
MATUMIZI
Mgonjwa apatiwe kijiko kikubwa asubuhi , mchana na jioni kabla ya kula chakula.
Mgonjwa atatumia dawa hii ndani mwezi mmoja na nusu na pia atumie dawa na kupima hospitalini
TAHADHARI