Magonjwa na Tiba


Ugonjwa wa Kisukari

Dalili za Ugonjwa wa Kisukari

Ugonjwa wa kisukali humpata mtu, endapo kiungo cha mwili kiitwacho kongosho kutofanya kazi zake vizuri.Kongosho ina kazi mbili muhimu kwa maisha ya binadamu.

Read More


Uchambuzi wa Uzazi

Sehemu ya Uzazi kwa wanawake

Yapasa mtu kuvielewa viungo vilivyohusika na uzazi kabla ya kutoa tiba .Hii ni kwa jamii yote inayohusika.

Read More


Malaria Sugu

Mbu anaeneza Malaria

Malaria ni ugonjwa unaosumbua sana katika jamii yetu.hata hivyo wengi wetu hatufahamu kama ugojwa wa malaria unaua sana kila mwaka kuliko hata ugonjwa hatari wa ukimwi.

Read More


Nguvu za Kiume

Njia ya Kiume ya Uzazi

Ugonjwa wa nguvu za kiume unatokana na kiungo cha mwanaume kinaposhindwa kufanya kazi vizuri katika tendo la ndoa, hii hutokana na kiungo hiki kuwa laini na kusababisha kushindwa

Read More


© 2025 Shirika la Maendeleo Utafiti na Tiba Tanzania - SHIMAUTITA