Habari na Matukio

07
Aug
2013

Mikakati ya Shimautita, Waganga na Wananchi wa mwaka 2013

Mkakati wa Shirika za Maendeleo Utafiti na Tiba Tanzania (SHIMAUTITA) Mwaka 2013, Mkutano wa Waganga wa Jadi na Wananchi Wote. Katika jitihada za shimautita kufanya utafiti na tiba hapa nchini, lengo la kupanua huduma ya afya, tiba asilia kwa walengwa Tanzania tulijiwekea mikakati… Read More

Attachment: attachment Mikakati_ya_mikutano_wa_2013_Shimautita_waganga_na_wananchi
19
Jul
2013

NIMR yasisitiza kuendeleza Tiba Asilia kwa ajili ya Matumizi ya Binadamu

Mtafiti Mwandamizi na Mkuu wa Idara ya Utafiti na Uendelezaji wa Tiba Asili kutoka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu(NIMR) Dkt. Hamisi Malebo akiwaonesha waandishi wa habari(hawapo pichani) dawa ya inayotafitiwa na taasisi hiyo kwa ajili ya kutibu ugonjwa wa UKIMWI… Read More

06
Oct
2012

Huduma za tiba asili zinavyozidi kubadilika

Miaka ya hapo katikati kutokana na kutekwa na utamaduni wa Kimagharibi, Watanzania walijikuta wakidharau kutumia dawa za asili na kutukuza zile za kigeni.

Read More

04
Oct
2012

Anzisheni mashamba ya Dawa Asilia - BAWATA

Baraza la Waganga Watafiti na Tiba Asilia Tanzania (BAWATA), limetoa mwito kwa wataalam wa fani ya tiba asilia kuanzisha mashamba yatakayopandwa mimea inayotumika kama dawa asilia ili kuilinda isipotee.

Read More

23
Jul
2012

Vyuo vikuu vya afya kutoa elimu ya tiba asilia

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema ipo haja siku zijazo kuanzishwa kwa vyuo vya elimu ya tiba ya asili na tiba mbadala ili kuwasaidia wananchi kupata huduma za afya kwa usalama zaidi.

Read More


© 2025 Shirika la Maendeleo Utafiti na Tiba Tanzania - SHIMAUTITA